Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uchaguzi wa KM mpya wa Umoja wa Mataifa unanyemelea

Uchaguzi wa KM mpya wa Umoja wa Mataifa unanyemelea

Ijumatatu tarehe 09 Oktoba (2006) Baraza la Usalama linatazamiwa kupiga kura ya kumteua rasmi KM mpya atakayechukua nafasi ya KM Kofi Annana mnamo mwanzo wa 2007. Baada ya hapo Baraza la Usalama litatuma jina la KM mpya mbele ya Baraza Kuu kuidhinishwa na wawakilishi wa kimataifa.