6 Oktoba 2006
Antonio Gutteres, Kamishna Mkuu wa Shirika la UM juu ya Wahamiaji la UNHCR, alipofungua rasmi, wiki hii, mijadala ya Kamati ya Utendaji mjini Geneva alishauri ya kwamba “wakati wa kuambizana ukweli” umewadia.
Antonio Gutteres, Kamishna Mkuu wa Shirika la UM juu ya Wahamiaji la UNHCR, alipofungua rasmi, wiki hii, mijadala ya Kamati ya Utendaji mjini Geneva alishauri ya kwamba “wakati wa kuambizana ukweli” umewadia.