Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baazala Usalama kuongeza mudawa operesheni za mashirika matatu ya ulinzi wa amani Afrika

Baazala Usalama kuongeza mudawa operesheni za mashirika matatu ya ulinzi wa amani Afrika

Baraza la Usalama limepitisha maazimio ya kuongeza muda wa kazi za yale mashirika ya UM juu ya ulinzi wa amani katika Ethiopia na Eritrea (UNMEE), na katika JKK (MONUC) na pia katika Liberia (UNMIL).