Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mshauri Maalumu wa KM akutana na Raisi wa Rwanda

Mshauri Maalumu wa KM akutana na Raisi wa Rwanda

Juan Mendez, Mshauri Maalumu wa KM wa Kuzuia Mauaji ya Halaiki majuzi amezuru Rwanda na alikutana kwa majadiliano na Raisi Paul Kagame.