Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unaadhimisha 'Siku ya Makazi Bora Duniani' kwa kuhimiza kuchukuliwe hatua za dharura kudhibiti ukuaji wa mitaa ya mabanda

UM unaadhimisha 'Siku ya Makazi Bora Duniani' kwa kuhimiza kuchukuliwe hatua za dharura kudhibiti ukuaji wa mitaa ya mabanda

Mapema wiki hii, kulifanyika sherehe kadha wa kadha katika miji mbalimbali ya dunia kuadhimisha ‘Siku ya Makazi Bora Duniani.’ Mada ya mwaka huu inasema: “Miji, ndiyo ni kivutio cha matarajio mema.”

Sikiliza ripoti kamili kwenye mtandao.