Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Katibu Mkuu amepeleka ofisa wa hadhi ya juu DRC kuongoza uchaguzi wa uraisi

Katibu Mkuu amepeleka ofisa wa hadhi ya juu DRC kuongoza uchaguzi wa uraisi

Naibu KM juu ya Masuala ya Kisiasa, Ibrahim Gambari wiki hii anzuru Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) kwa madhumuni ya kuhakikisha uchaguzi utakaofanyika nchini mwisho wa mwezi kuchagua raisi na pia wawakilishi wa baraza la majimbo utakuwa wa amani.