Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji wa Burundi katika Tanzania kupatiwa makazi mapya Marekani

Wahamiaji wa Burundi katika Tanzania kupatiwa makazi mapya Marekani

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuwa Serekali ya Marekani ipo tayari kuwapatia makazi mapya wale wahamiaji 13,000 wa Burundi pamoja na wazawa wao ambao wanayoyoma kwenye kambi za wahamiaji nchini Tanzania tangu 1972 pale walipokimbia mauaji ya halaiki nchini mwao.

Sikiliza taarifa kamili kwenye redio ya mtandao.