Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unahimiza hali ya utulivu iendelezwe katika DR Congo wakati wa duru ya pili ya uchaguzi wa uraisi

UM unahimiza hali ya utulivu iendelezwe katika DR Congo wakati wa duru ya pili ya uchaguzi wa uraisi

UM umetoa nasaha kwa wale viongozi wenye kugombea kiti cha uraisi katika Jamhuriya Kidemokrasi ya Kongo (DR Congo), kwenye duru ya pili ya uchaguzi utakaofanyika mwisho wa wiki [Ijumapili], kuendelea kuheshimu muungano wa taifa kabla na baada ya upigaji kura kumalizika, bila ya kuzusha mfarakano kutokana na tofauti za kimawazo.