Maendeleo makubwa kupatikana nchini Sierra Leone
Kufuatana na ripoti mpya ya Katibu Mkuu Koffi Annan, kwa Baraza la Usalama, ni kwamba licha ya maendeleo makubwa yaliyopatikana, Sierra Leone inakabiliwa na matatizo na vitisho muhimu katika usalama wake