Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wagombea urais nchini DRC wakubali kuunda tume

Wagombea urais nchini DRC wakubali kuunda tume

Afisi ya Umoja wa mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, MONUC ilitangaza wiki hii kuwa wagombea wawili walobaki wa kiti cha rais huko kutokana na uchaguzi wa mwezi uliyopita, wamekubaliana kuunda tume ya pamoja kuchunguza ghasia zilizotokea baada ya kutolewa matokeo ya awali,