1 Septemba 2006
Baraza la Usalama, limekubali kupeleka jeshi la kulinda amani la Umoja wa mataifa la zaidi ya wanajeshi elfu 17 katika jimbo lenye ghasia la Darfur huko Sudan, ifikapo mwisho wa mwaka huu.
Baraza la Usalama, limekubali kupeleka jeshi la kulinda amani la Umoja wa mataifa la zaidi ya wanajeshi elfu 17 katika jimbo lenye ghasia la Darfur huko Sudan, ifikapo mwisho wa mwaka huu.