Wajumbe kutoka nchi mbali mbali duniani wakubaliana juu ya haki za walemavu
Baada ya miaka mitano ya majadiliano wajumbe kutoka karibu mataifa 100 ya dunia walikutana kwenye makao makuu ya umoja wa mataifa hapa New York, mwishoni mwa mwezi wa Agosti walikubaliana juu ya mkataba mpya wa kulinda haki za watu wenye ulemavu.