Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Serikali ya Somalia kuanza mazungumzo ya amani mjini Khartoum

Serikali ya Somalia kuanza mazungumzo ya amani mjini Khartoum

Wajumbe wa serekali ya mpito ya Somalia na wale wa Baraza la mahakama ya kiislamu linalodhibiti mji mkuu wa Mogadishu na sehemu kubwa ya nchi, wanaanza duru ya pili ya mazungumzo ya amani mjini Khartoum hii leo. Abdushakur Aboud amezungumza na mbunge na waziri mdogo wa zamani Hussein Bantu huko Baido na kumuliza kwanza mazungumzo yatahusu masuala gani. ~~