Juhudi za mtu mmoja kuwasaidia watoto wanaoishi na UKIMWI
Peter Mbiyu Kangethe, mjumbe wa baraza la serekali ya mitaa nchini Kenya ni moja ya raia wanaohusikana na juhudi za kupitisha sheria zitakazotumiwa kulinda maslahi ya yale watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU) na UKIMWI. ~