8 Septemba 2006
Maafisa wa usalama katika Tanzania wamemuachia huru yule wakili wa utetezi kwenye mahakama ya kimataifa ya Rwanda, (ICTR) bila ya maelezo juu ya sababu za kukamatwa kwa wakili huyo.
Maafisa wa usalama katika Tanzania wamemuachia huru yule wakili wa utetezi kwenye mahakama ya kimataifa ya Rwanda, (ICTR) bila ya maelezo juu ya sababu za kukamatwa kwa wakili huyo.