Njia za kimagendo katika Ghuba ya Aden
Shirika la UM juu ya Wahamiaji (UNHCR) linabashiria watu wengi watapoteza maisha kutokana na kufumka kwa shughuli hatari za misafara ya magendo ya watu katika Ghuba ya Yemen, umma ambao husafirishwa kutoka Usomali na kupelekwa Yemen.