Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM umetuma wataalamu watatu Cote d'Ivoire kudhibiti kemikali maututi

UM umetuma wataalamu watatu Cote d'Ivoire kudhibiti kemikali maututi

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Kiutu (OCHA) imetuma timu ya maofisa wataalamu watatu katika Cote d’Ivoire kuisaidia serekali kudhibiti vyema tatizo liliozuka karibuni baada ya kugunduliwa taka za sumu ya kemikali zilizomwagwa mwezi uliopita katika mji mkuu wa Abidjan na kuhatarisha afya na usalama wa raia, kwa ujumla.~