Usalimishaji wa silaha katika DRC unaendelea kwa amani
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika JKK (MONUC) limeripoti ya kuwa wanamgambo 34 waliopo kwenye wilaya ya Ituri, kaskazini-mashariki ya JKK walisalimisha, kwa hiyari, silaha zao kwa vikosi vya kimataifa mnamo wiki iliopita.