15 Septemba 2006
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika JKK (MONUC) limeripoti ya kuwa wanamgambo 34 waliopo kwenye wilaya ya Ituri, kaskazini-mashariki ya JKK walisalimisha, kwa hiyari, silaha zao kwa vikosi vya kimataifa mnamo wiki iliopita.
Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika JKK (MONUC) limeripoti ya kuwa wanamgambo 34 waliopo kwenye wilaya ya Ituri, kaskazini-mashariki ya JKK walisalimisha, kwa hiyari, silaha zao kwa vikosi vya kimataifa mnamo wiki iliopita.