Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umoja wa Mataifa kulaani mashambulio nchini Burundi

Umoja wa Mataifa kulaani mashambulio nchini Burundi

Umoja wa Mataifa umelaani vikali mashambulio yanayotokea huko Burundi mnamo wiki hii ambapo mfanya kazi mmoja wa Umoja wa Mataifia alijeruhiwa.