Mwakilishi wa Katibu Mkuu aridhishwa na juhudi za kuleta amani nchini Somalia
Mwakilishi wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa huko Somalia amesema ameridihika kusikia ripoti kua juhudi za Ethiopia za kupatanisha ugomvi katika serekali ya mpito ya Somalia imeonesha ishara za kufanikiwa.