Baraza la Usalama lapitisha azimio juu ya mapigano kati ya Israel na Lebanon
Juhudi za kidiplomasia zinaendelea katika Baraza la Usalama na katika miji mikuu ya nchi mbali mbali kujaribu kutafuta suluhisho la kusitisha mapigano kati ya Israel na wapiganaji wa Hezbollah huko Lebanon.