Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama lapitisha azimio juu ya mapigano kati ya Israel na Lebanon

Baraza la Usalama lapitisha azimio juu ya mapigano kati ya Israel na Lebanon

Juhudi za kidiplomasia zinaendelea katika Baraza la Usalama na katika miji mikuu ya nchi mbali mbali kujaribu kutafuta suluhisho la kusitisha mapigano kati ya Israel na wapiganaji wa Hezbollah huko Lebanon.