Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Risala ya nasaha ya Katibu Mkuu kwa Umoja wa Afrika(AU).

Risala ya nasaha ya Katibu Mkuu kwa Umoja wa Afrika(AU).

Katibu Mkuu (KM) wa Umoja wa Mataifa (UM) Kofi Annan kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Afrika (AU)uliofanyika majuzi katika mji mkuu wa Banjul, Gambia aliwaambia wajumbe wa Mataifa Wanachama ya kuwa anajumuika kusherehekea nao, kidhati, mafanikio ya kidemokrasia yaliyojiri miaka ya karibuni katika bara la Afrika.

Kwa maelezo kamili sikiliza taarifa.