Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwakilishi wa KM juu ya Usomali ajadilia mchango wa UM nchini.

Mwakilishi wa KM juu ya Usomali ajadilia mchango wa UM nchini.

Mwakilishi wa KM juu ya Usomali, Francois Lonseny Fall wiki hii aliwaarifu waandishi habari wa kimataifa ya kuwa lengo kuu la UM katika Usomali ni kuwahimiza wafuasi wa makundi ya Kiislamu na wawakilishi wa Serekali ya Mpito (TFI) kuendelea kujadiliana na kushauriana juu ya uwezekano wa kurudisha, kipamoja, salama na amani katika taifa lao.~~