Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanajeshi walinzi wa UM waachiwa huru nchini Congo-DRC.

Wanajeshi walinzi wa UM waachiwa huru nchini Congo-DRC.

Wanajeshi watano walinzi wa amani wa UM kutoka Nepal waliotekwa nyara na kundi la waasi la FNI katika JKK kuanzia tarehe 28 Mei (2006) waliachiwa huru majuzi wakiwa na afya zao imara. Wanajeshi hawa hivi sasa wameshajiunga na vikosi vya kuimarisha amani vya UM ili kujiandaa na kusimamia hali ya utulivu ndani ya nchi kabla ya uchaguzi mkuu wa taifa mwisho wa mwezi.~~