Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mtaalamu wa UM athibitisha uchumi maendeleo umeshindwa kuzalisha ajira.

Mtaalamu wa UM athibitisha uchumi maendeleo umeshindwa kuzalisha ajira.

Charles Gore, Mtaalamu aliyetayarisha Ripoti ya UM ya 2006 juu ya Maendeleo ya Mataifa Yanayoendelea (LDC) amearifu wiki hii kwamba ijapokuwa katika 2004 maendeleo ya uchumi katika nchi masikini yaliongezeka kwa kiwango cha 5.9, muongezeko huu ulishindwa kupanua fursa za ajira na pia kutofanikiwa kupunguza ufukara na hali duni, kwa ujumla, katika maeneo hayo.