Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNEP yazingatia hifadhi ya mikoko katika Bahari ya Pasifiki.

UNEP yazingatia hifadhi ya mikoko katika Bahari ya Pasifiki.

Shirika la UNEP limetangaza kwamba utafiti ulioendelezwa karibuni kuhusu hali ya mikoko katika Bahari ya Pasifiki umethibitisha ya kuwa kunahitajika kuchukuliwa hatua za haraka za pamoja, kimataifa, kuhifadhi uchumi wa mfumo muhimu wa ikolojia ya eneo hilo. Mabadiliko ya hali ya hewa yalionekana kukithirisha kima cha usawa wa bahari na kuhatarisha mazingira maumbile ya eneo.