Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kundi la muungano wa waasi (MRC) katika Congo-DRC lasalimisha silaha zao

Kundi la muungano wa waasi (MRC) katika Congo-DRC lasalimisha silaha zao

Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani katika JKK (MONUC) limeripoti kwamba kundi la muungano wa waasi, lijukanalo kwa ufupi kama kundi la MRC, limekubali wiki hii kusalimisha silaha zao.