Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Wasichana wakicheza katika moja ya kijiji nchini Sri Lanka
Photo: WFP Sri Lanka/Hamish Appleby

Je umeshawahi kuonja majani ya moringa yaliyopikwa kwa nazi? Basi kutana na mpishi kutoka Sri Lanka:IFAD

Mabadiliko ya tabianchi yanayoikumba dunia hivi sasa yamewafanya watu wengi kutafuta kila njia ya kuyakabili au kupata suluhu mbadala. Mojawapo ni kutumia mapishi ambapo mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD unasema yanaleta mapinduzi kwa jamii nyingi ikiwemo nchini Sri Lanka ambako majani ya mti wa Moringa unaohimili ukame imegeuka mboga maridadi nma yenye lishe bora. 

Sauti
2'30"
Photo: FAO

IFAD yamwangaza mpishi kutoka Sri Lanka anayeandaa mlo kutoka kwa majani ya moringa

Mabadiliko ya tabianchi yanayoikumba dunia hivi sasa yamewafanya watu wengi kutafuta kila njia ya kuyakabili au kupata suluhu mbadala. Mojawapo ni kutumia mapishi ambapo mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD unasema yanaleta mapinduzi kwa jamii nyingi ikiwemo nchini Sri Lanka ambako majani ya mti wa Moringa unaohimili ukame imegeuka mboga maridadi nma yenye lishe bora. 

Sauti
2'30"