Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya Tabianchi

Mabadiliko ya Tabianchi
Ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu

Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio  Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

UNEP

Wanawake Uganda, vinara wa kuwalinda Sokwe wasitoweke.

Kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo mabadiliko ya tabianchi yaliyosababisha binadamu kusogea zaidi katika makazi asili ya wanyama, mara kadhaa binadamu na wanyama wameingia katika mgogoro ambao unaziathiri pande zote mbili. Migogoro hiyo ni pamoja na wanyama kuvamia makazi ya binadamu na hata kuharibu mashamba huku binadamu nao wakisambaratisha makazi ya wanyama.

Sauti
3'44"