Asilani hatutowasahau waliouawa na manusura wa mauaji ya kimbari Rwanda: Guterres
Ikiwa leo ni miaka 30 tangu kutokea mauaji mbaya zaidi ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa waliopoteza maisha na wale walionusurika hawatosahaulika kamwe.