Sote tuone aibu kwa ukosefu wa usawa wa wanawake karne ya 21 - Guterres
Karne ya 21 inatakiwa kuwa karne ya usawa wa wanawake, ni kauli iliyotolewa hii leo alhamis na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alipokuwa akitoa wito wa kuibadilisha dunia katika kuhakikisha ushiriki sawa kwa wote.