Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wanawake wakiteka maji katika mradi wa maji uliofadhiliwa na shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dolow nchini Somalia. IOM, WFP na mashirika mengine waliweze kusaidia mahitaij ya wakimbizi hao kutokana na mfu
WFP/Georgina Goodwin

Kuchangia CERF ni uwekezaji bora zaidi- Guterres

Kuwekeza katika mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa, CERF si tu kunafanikisha usaidizi wa kibinadamu bali pia ni kuwekeza katika kuboresha kazi za chombo hicho chenye wanachama 193, amesema Katibu Mkuu Antonio Guterres jijini New  York, Marekani hii leo wakati akifungua kikao cha ngazi ya juu cha kuchangia mfuko huo  ulioanzishwa mwaka 2006.

Vijana wa kiume wakitizama soka kupitia televisheni Volta Redonda, Brazil.
Unsplash/Gustavo Ferreira

Televisheni haifi ng’o!- ITU

Ikiwa leo ni siku ya televisheni duniani, shirika la mawasiliano la Umoja wa Mataifa, ITU limesema chombo hicho cha mawasiliano kitaendelea kuwa na umuhimu mkubwa katika kuongeza uelewa wa masuala ya mambo miongoni mwa binadamu.