Rais wa muungano wa wabunge IPU ambaye pia ni spika wa bunge la Namibia Dr Theo-Ben Gurirab akizungumza leo katika siku ya kimataifa ya ukimwi amesema kwa zaidi ya miaka 20 siku ya ukimwi duniani inatukumbusha kuwa ugonjwa huo bado uko nasi nab ado kuna kibarua kigumu kuutokomeza.