Mfumo mpya wa kuhifadhi takwimu uliozinduliwa na shirika la kimataifa la chakula na kilimo FAO, unalipiga darubini swala la usawa wa kijinsia ambalo limekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo vijijini, hasa tofauti baina ya wanawake na wanaume katika suala la kumiliki ardhi.