Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewataka vijana kuunga mkono harakati za Umoja huo wa Mataifa, kuhakikisha dunia inaendelea kuwa salama na kimbilio la wengi, pamoja na kwamba changamoto zinazoendelea kuibuka nyakati hizo ni kubwa zisizowahi kushuhudiwa wakati wowote.