Wizara ya elimu na elimu ya juu ya Palestina, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Palestina UNRWA wameonya kuwa kiwango cha elimu Palestina kimefikiwa hali isiyokubalika licha ya juhudi za serikali na jumuiya ya kimataifa.