Sajili
Kabrasha la Sauti
Wizara ya afya nchini Afrika ya Kusini imearifu kuwa homa ya bonde la ufa (RVF) imeingia nchini humo na kuua watu wawili.
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa wa haki za wahamiaji Jorge A. Bustamante ametoa wito kwa serikali ya Japan kuongeza ulinzi kwa wahamiaji na familia zao.