Sajili
Kabrasha la Sauti
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu, UNFPA limeangazia jinsi ambavyo janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 limeingilia na kutishia fursa ya watu kuchagua kuwa na watoto au la.