Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amezitaka pande zote za Sudan ambazo zilitia saini makubaliano ya kumaliza machafuko kati eneo la Kaskazni na Kusin kujizuia na vitendo vyovyote vinavyoweza kuharibu amani, wakati huu ambapo zoezi la uhesabuji wa kura za maoni likikaribia kumalizika.