Sajili
Kabrasha la Sauti
Kuelekea siku ya wakunga duniani hapo kesho, Chama cha wakunga nchini Tanzania, TAMA kupitia kwa ufadhili wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani, UNFPA, limeeleza kuwa litaitumia siku hiyo kujadili umuhimu wa kuwekeza kwa mkunga.