Leo asubuhi tulipata taarifa ziada kutoka Mahmoud Daher, Ofisa wa Afya anayewakilisha Shirika la Afya Duniani (WHO) katika Ghaza, ambaye alihojiana, kwa kutumia njia ya simu, na Samir Imtair Aldarabi, mwanahabari wa Idhaa ya Kiarabu ya Redio ya UM. Daher alielezea hali ilivyo sasa hivi katika Ghaza, kama ifuatavyo:~