Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema katika kuwakumbuka waathirika milioni sita ambao ni Wayahudi na wengineo waliouawa kikatili wakati wa mauaji ya maangamizi makuu ya Holocust chini ya utawala wa Kinazi na washirika wao, inasikitrisha kwamba chuki dhidi ya Wayahudi bado inaendelea.