Mijadala kuhusu Afrika ikitamatishwa hii leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, hii leo Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika wamefanya mjadala wa wazi kuhusu utekelezaji wa ubia mpya wa maendeleo barani Afrika, NEPAD sambamba na ushirikiano wa kimataifa. Taarifa zaidi na Assumpta Massoi.