Sajili
Kabrasha la Sauti
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limejadili ripoti kuhusu wanawake, amani na usalama. Ripoti hiyo inahusu mchango kutoka kwa wanachama 38, mashirika manne ya kimaendeo na idara 27 za Umoja wa Mataifa.