Ni jambo lisilokubalika kabisa kwa mataifa yenye silaha za nyuklia kukiri uwezekano wa vita vya nyuklia, Amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Maataifa Antonio Guterres, Jumamosi nchini Japan katika sherehe za kuadhimisha miaka 77 ya shambulio la bomu la nyuklia la Hiroshima.