Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya watu wenye asili ya Afrika Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuhakikisha ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika sekta ya haki na uhalifu unakomeshwa kote duniani.
Andrew Young, Balozi wa kwanza wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa mwenye asili ya Afrika akiwa anaandika historia hiyo amem mwagia sifa Ralph Bunche kuwa mtu aliyekuwa akimvutia
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokuwa na utaifa, mkataba wa kukabiliana na tatizo hilo unaadhimisha miaka 60 ya kukuza na kulinda haki za watu wasio na utaifa .