Kuuchukulia uhamiaji kama ni tatizo si fikra nzuri , kwani unahamiaji una faida nyingi, kwa wahamiaji wenyewe lakini pia kwa jamii zinazowahifadhi, iwe katika masuala ya kiuchumi, utamaduni na hata maendeleo kwa mujibu wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD