Zaidi ya wakimbizi 400,000 wa Burundi waliokimbia machafuko na kutokuwepo usalama nchini mwao sasa, wanahitaji msaada wa haraka na ukata unatishia mustakhbali wao, limeonya leo shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. Siraj Kalyango na tarifa kamili