Sajili
Kabrasha la Sauti
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mashambulio yaliyofanywa dhidi ya raia tarehe 8 Agosti mwaka huu 2021 katika mkoa wa Gao nchini Mali ambapo raia takribani raia hamsini waliripotiwa kuuawa na kadhaa kujeruhiwa.