Mizozo, ukosefu wa usalama, COVID-19 na kuzorota kwa hali ya uchumi kunasababisha kuongezeka kwa usafirishaji haramu wa watoto, kazi za kulazimishwa na kuajiriwa kwa nguvu na vikundi vyenye silaha nchini Mali, limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.